DKT KAZOBA MTAALAMU WA TAFITI NA TIBA ATUA KAGERA ,ABAINI WAKAZI KUSUMBULIWA NA KANSA ATIBU WATU SITA WAPONA !

 DAWA YA KANSA (SARATANI) ZA AINA ZOTE YA DAKTARI KAZOBA YATIBU WATU 6 WILAYA YA KARAGWE MKOANI KAGERA

By ngilishonews.com


Tafiti zinaonyesha asilimia kubwa ya wakazi wanaoishi eneo la Wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera wamekuwa wakisumbuliwa na Changamoto ya ugonjwa wa Kansa


Tafiti hizo ambazo tumezifanya Kazoba International tumegundua kuwa eneo hilo linakabiliwa na changamoto ya Saratani na hii ni baada ya kupata wagonjwa wengi kutoka eneo hilo ambao tumefanikiwa kuwatibu na kupona kabisa

Tafiti zetu zimegundua changamoto ya Saratani katika eneo hilo inasababishwa pengine na utumiaji wa maji ya visima ambavyo vimekuwa vikichimbwa bila ushauri wa wataalam wa serikali na hivyo visima hivyo kuwepo kwa madini ambayo wakazi hao wamekuwa wakiyatumia bila wao kujua


Sababu nyingine ambayo kazoba tumeibaini ni utumiaji wa vidonge vya kutibu maji ambavyo huwekwa katika visima hivyo bila kuzingatia utaratibu na ushauri wa wataalam


Hata hivyo tumetoa huduma ya kutibu wagonjwa wa Saratani katika eneo hilo la Karagwe na wamepata matokeo mazuri ikiwemo kupona kabisa kwa wagonjwa  na wengine kunyanyuka vitandani


Tunashauri wagonjwa kuendelea kutumia Dawa zetu kwa matokeo mazuri ya kutibu ugonjwa huo ila pia wananchi kuchukua tahadhari ili kuepukana na athari zinazopelekea magonjwa kama haya


Aidha tunazishauri mamlaka za serikali ikiwemo watafiti   kuangalia kwa jicho la karibu changamoto hiyo ya uchimbaji wa visima vya maji vinavyohisiwa kuwa ndio chanzo cha visababishi na pia matumizi ya maji yasio salama ili kuondokana na Tatizo hilo linalopelekea kupotea kwa nguvu kazi ya Taifa


Karibu Kazoba tukuhudumie,kwani afya yako ndio Mtaji wako wa Kwanza mtafute kwa mawasiliano 0655 251 118.





Post a Comment

0 Comments