DAWA YA KAZOLINE YAWA KIMBILIO LA WAGONJWA NCHINI, SERIKALI YAITAMBUA YATOA VYETI KIBAO VYA PONGEZI, !

 DAWA YA KAZOLINE YALETA MATOKEO CHANYA KWA WAGONJWA!

By Ngilisho Tv 


MTAFITI Maarufu wa dawa za Tiba asili,dkt KAZOBA MWESIGA hivi karibuni ameibua  dawa mpya  ya KAZOLINE ambayo imekuwa gumzo hapa nchini baada ya kuleta matokeo chanya na  mafanikio makubwa kwa kusaidia wagonjwa wengi Miongoni mwa jamii.


Mwaka 2023 mamlaka ya Tiba asili nchini iliipatia kibali dawa hiyo ya KazoLine  Ikiwemo Vyeti Kutoka Kwa Mkemia Mkuu wa Serikali pamoja na Shirika la viwango Tanzania TBS Juu baada ya kuridhika na ubora na usalama wa Mtumiaji na namna inavyotibu magonjwa mbalimbali.

Dkt KAZOBA alisema Kwa sasa watumiaji wa dawa hiyo wameongezeka baada ya kuona mafanikio na manufaa ya dawa hiyo inayotibu magonjwa mbalimbali ikiwemo maumivu ya viungo vya Mwili.

Dawa hiyo ambayo imetambuliwa  pia na  Botanical,Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam Na Chuo kikuu cha Muhimbili kwa kuonyesha Mimea, dawa hiyo inapatikana kwa wingi nchini ikiwa inazalishwa na Kampuni ya Mzawa  Ya Kazoba International Herbal Products LTD

Miongoni mwa faida zinazopatikana kwa watu wanaotumia  dawa ya Kazoline ni pamoja na uwepo wa Kinga na Virutubisho  Muhimu Sana katika Kukinga Na Kutibu Magonjwa Ya Maumivu Ya Viungo, Matatizo Ya Vidonda Vya Tumbo Na Pia *INAIMARISHA KINGA ZA MWILI*
+255754251118







Ends...

Post a Comment

0 Comments